1 Kings 10:28-29
28Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. ▼▼ Yaani Kilikia ilioko Syria.
Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue. 29Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha ▼▼ Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
na farasi kwa shekeli 150. ▼▼ Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.
Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu. ▼▼ Waaramu hapa ina maana ya Washamu.
Copyright information for
SwhKC